MASWA DEVELOPMENT COMMUNITY

Monday, August 31, 2009

IJUE WILAYA YA MASWA

Wilaya ya Maswa (Maswa District)

Wilaya ya ya Maswa ni miongoni mwa wilaya nane za mkoa wa Shinyanga Tanzania. Upande wa kaskazini wilaya ya Maswa imepakana na wilaya ya Bariadi, upande wa mashariki wilaya ya Meatu, upande wa kusini tuimepakana na wilaya ya Kishapu na upande wa magharibi imepakana na mkoa wa Mwanza.

Kwa mujibu wa Sensa ya taifa ya mwaka 2002, idadi ya watu wilayani Maswa inakadiriwa kufikia 304,402.

(Maswa District is one of the eight districts of the Shinyanga Region of Tanzania. It is bordered to the north by the Bariadi District, to the east by the Meatu District, to the south by the Kishapu District and to the west by the Mwanza Region.
According to the 2002 Tanzanian National Census, the population of Maswa District is 304,402.)

Kata (Wards)
Wilaya ya maswa kiutawala imegawanywa katika kata 18; kama fiuatavyo:
:Maswa district is administratively divided into 18 wards:)
Badi, Buchambi, Budekwa, Busilili, Dakama, Ipililo, Isanga, Kadoto, Kulimi, Lalango, Malampaka, Masela, Mpindo, Nguliguli, Nyabubinza, Nyalikungu, Shishiyu, Sukuma.

No comments:

Post a Comment